Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Hissein Brahim Taha ameelezea wasiwasi wa jumuiya hiyo kuhusiana na kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu katika baadhi ya nchi za Ulaya.
Habari ID: 3475812 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/20